Jumatatu, 7 Julai 2014

JE UNAJUA MADHARA YA KUWA NA KITAMBI ?. BASI FAHAMU NA MBINU ZAKE ZA KUKIONDOA.


 
Operesheni ondosha vitambi kwa kina mama.
AKINAMAMA wengi siku izi ukikutana nao wanaonekana kama ni wajawazito, lakini si wajawazito, wana vitambi ama viriba tumbo kama wanaume, hii si hali ya kawaida, wengi wao hawajui kwanini wanakuwa na viriba tumbo hivyo na mbaya zaidi hawajui wafanyenini kuondokana na vitam

bi hivyo. Vitambi hivyo vina athari nyingi sana, za kiafya na kimaumbile.
Kiafya.


Kuendelea kuruhusu vitambi hivyo kukua pasipo kuchukua hatua sitahiki upelekea kupata matatizo mengi ya kiafya yakiwemo:-

· Mgandamano wa taka na sumu tumboni au Corprostasis
· Kukosa choo au Constipation.
· Kiharusi au Stroke
· Uzito uliozidi au Obesity.
· Matatizo ya moyo. Cardiovascular diseases
· Shinikizo la juu la damu au High blood pleasure
· Kisukari au Diabetes
· Saratani. Au cancer
· Kukakamaa kwa mishipa au arterioscelosis. Nk.


Haya ni baadhi tu ya magonjwa yanayoweza kumshambulia mtu iwapo hatachukua hatua kuakikisha anakuwa na mwili wenye afya kuwa kutorusu viriba tumbo. Hii ni kwa wanawake na wanaume pia, japo wengi wa wanaume wana fikra potofu kuwa kitambi ni afya au mafanikio Fulani, hiyo si kweli, bali ni matatizo.

Kimuonekano. 
Mwanamke anapokuwa na kitambi uwa anapoteza muonekano, avaapo nguo hapendezi kwa sababu tumbo ndio linatangulia, hii ni tofauti sana na tumbo la ujauzito, kwani lile uwa na kwa muda tu na uwa lina mavazi yake maalumu pia ambayo uwafanya baadhi yao kuonekana wanapendeza wanapokuwa atika hali hiyo.

Kiriba tumbo upoteza kabisa shape ama figure ya mtoto wa kike, matokeo yake ni kuwa hakuna nguo atakayovaa ikampendeza, hii imepelekea kinamama wengi kulazimika kuvaa madela tu kama wajawazito kwa kuwa hakuna nguo inayompendeza.


KAMPENI ONDOSHA KITAMBI.
Kampeni hii imekuja maalumu kwa ajili yako wewe mama ambaye unalazimika kuvaa madela muda wote kama mjamzito wakati huna mimba, weye ambaye upendi kuwa na kitambi na tena wakichukia lakini hujui ufanye nini, weye ambaye watamani kuwa na figure ipendezayo ambayo yavutia wengi.

Unahitaji kufata hatua nne muhimu za program hii ambazo ni rahisi sana kufikia kuwa na mwili au figure uipendayo na mwenye afya pia, kwani kwa kufata hatua hizo nne, utaondoa kiriba tumbo na kujikinga na maradhi yoote yaliyotajwa hapo juu na mengine mengi. Programu hii ya kuondosha kitambi ukiifuata sawasawa inakupa majibu ndani ya mwezi mmoja, ni salama na hakika.

Hatua hizo ni:
1. Kuondoa sumu mwilini.
Hii ni hatua muhimu sana kuelekea kwenye safari yako ya kuondosha kitambi. Ina safisha mfumo mzima wa mmengenyo wa chakula na kuondoa mgandamano wa taka tumboni. Kwa mfumo wetu wa chakula unapokuwa umefunga miili yetu hushindwa kufyonza virutubisho muhimu na kufanya sumu na taka kurundikana mwilini.


2. Kuchoma mafuta na kungarisha mwili.
Hii ni muhimu kwani ingawa miili yetu yahitaji mafuta kwa kutunza joto, mafuta hayo yanapozidi ni hatari na upelekea kuhatarisha mahisha, utagundua kuwa mafuta yachomwapo metabolism ya mwili nayo inaongezeka. 


3. Kusawazisha na kusafisha.
Hii usawazisha kiwango cha asidi na alkali miilini mwetu itokanayo na kula vyakula vyenye asidi nyingi na kupelekea kutokuwa na mlo kamili, pia yasafisha mfumo mzima wa damu na kongeza kiwango cha usambazi wa hewa ya oksijeni mwilini na zaidi ya yote kuuongezea mwili kinga ya kupambana na maradhi yoote.
4. Kurejesha – rejuvenation
Program hii yamalizia na kurejeza, kuuisha upya chembe hai za damu kwa kuupa mwili viondoa sumu,(anti oxidants) hii inafaida kubwa sana kwa mfumo wa damu na moyo pia, huongeza protein muhimu na hivyo kukufanya usizeeke upesi. (Anti aging properties).


"MAJIBU NDANI YAMWEZI MMOJA"Je wataka kuondosha kiriba tumbo?? call now +255-713-354-389 au +255-762-285-404

Jumapili, 22 Juni 2014

11 Lifestyle Diseases You Should Take Seriously



  1. Communicable diseases like malaria, cholera and polio have become manageable due to recent advancements in medicines. However a new breed of diseases has developed, called ‘Lifestyle diseases’ such as heart disease, some cancers and diabetes, which are no longer a problem just in wealthy nations. Globally 14.2 million people between the ages of 30-69 years die prematurely each year from these diseases. These diseases have emerged as bigger killers than infectious or heridetary ones. Risk factors for these diseases include tobacco use, unhealthy diets and physical inactivity. Today we will take look at the most common lifestyle diseases that you need to take seriously

  2. Default

     
    1. Obesity 


    Unhealthy eating habits, super-sizing meals, and reduced physical exercise all translate to obesity. A person with excessive weight suffers with breathing problems, blood pressure, cardiovascular diseases, diabetes, etc.

    The NFHS figures suggest that currently India ranks second with 155 million obese citizens and are increasing at 33-51% every year
    Reply With Quote
  3.  
    2. Type II diabetes 


    Obesity becomes the cause for other health problems such as Type II Diabetes which is the non-insulin dependent form, and generally develops in adults.

    The International Diabetes Federation suggests that India has the largest number of people who suffer with type 2 diabetes at around 40.9 million people

  4.  

    3. Arteriosclerosis


    This is a group of diseases that occur when the arterial blood vessel walls thicken and lose elasticity.

    Atherosclerosis is when fatty plaques deposit in the arterial walls and cause blood circulation disorders, chest pain, and heart attacks. It is linked with diabetes, obesity and a high BP.

    Around 30% to 40% of cardiovascular deaths happen in India among the age group of 34-64 years of age
    Reply With Quote

  5. Default

     
    4. Heart disease


    This refers to abnormalities that affect the heart muscle and blood vessel walls. The major factors involved in its development are smoking, diabetes and high cholesterol intake.

    India ranks No.1 in cardiac patients, around 50 million people in India suffer from heart problems
    Reply With Quote
  6.  
    5. High blood pressure


    When the reading is 140/90 or higher, the BP is considered to be high. Hypertension results from a variety of reasons like stress, obesity, genetic factors, overuse of salt in the diet and ageing.

    In India, more than 100 million people have high blood pressure
  7.  

    6. Swimmer's ear


    Swimmer's ear is inflammation, irritation, or infection of the outer ear and ear canal. Buzzing or ringing ears, or difficulty in understanding speech patterns are its symptoms.

    Swimmer’s ears results due to loud music and constant use of headphones.

    An estimated of 12.5% have suffered permanent damage to their hearing in India from excessive exposure to noise, and the number is growing each year.


    Reply With Quote

  8.  

    7. Cancer


    Cancer includes any hysterical, irregular cell growth. The types of cancer could include lung cancer due to prolonged smoking, skin cancer due to too much exposure to the sun etc.

    Cancer killed almost 5,56,400 people across the country in 2011
  9.  
    8. Stroke


    A stroke results when a blood vessel carrying blood to the brain has a blockage, thus creating an oxygen deficiency for the area of the brain it was carrying it to.

    Indian studies have shown that about 10% to 15% of strokes occur in people below the age of 40 years
    Reply With Quote

  10.  
    9. Chronic obstructive pulmonary disease


    This is a disease described by a progressive, permanent obstruction of the airways. Smoking and air pollution are factors as well as reasons for worsening of this condition.

    Percentage of adults diagnosed with COBD in the past year: 4.3 million


    Reply With Quote

  11.  
    10. Cirrhosis


    Cirrhosis refers to a group of liver disorders. Heavy alcohol consumption and chronic hepatitis may be listed as causes.

    In India, approximately 36,149 people die each year due to cirrhosis.
    Reply With Quote

  12.  
    11. Nephritis


    This includes kidney disease characterized by swelling of the kidneys and abnormal function.

    Around 39,480 deaths are estimated due to nephritis each year in India.

MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO (URINARY TRACT INFECTIONS -UTIs)


Neno U.T.I si geni masikioni mwa wengi, kwani ni wengi leo utawasikia “naumwa U.T.I”. Japo si wote hulitumia kisahihi. Wengine wana tatizo ambalo ni tofauti na U.T.I, lakini anaweza akaenda hata duka la dawa na kuomba apatiwe dawa za U.T.I. Leo nimeona tubadilishane elimu juu ya hili tatizo, angalau kila mmoja awe na uelewa U.T.I ni nini hasa, inasababisha na nini, na ni jinsi gani anaweza kujikinga.
U.T.Is, ni kifupisho cha Urinary Tract Infections, ambayo kwa lugha yetu ni maambukizi ya njia ya mkojo. Kama linavyojieleza, kwamba maambukizi ni lazima yawe ni kwenye njia ya mkojo ndipo tunaita ni U.T.I, na si pengine popote. Una uchafu unatoka ukeni, hiyo ni kitu kingine tofauti nk. Tunapozungumzia njia ya mkojo, ni kutoka eneo la nje hadi kwenye kibofu, na kutoka kwenye kibofu hadi kwenye figo.
Kama maambukizi yako eneo la kutoka kwenye kibofu hadi kwenye figo(ikihusisha na figo pia), inaitwa Lower Urinary Tract Infect. Na ikihusisha eneo la juu ya kibofu, inaitwa Upper Urinary Tract Infection.
Tatizo hili huwapata wote, wanaume na wanawake. Lakini huwapata zaidi wanawake kutokana na tofauti za kimaumbile. Hii ni kwa sababu kuu mbili, i)njia ya haja ndogo ya mwanamke iko jirani zaidi na njia ya haja kubwa ambapo vijidudu vingi visababishao U.T.I ndipo vinapoishi, ii) mrija wa mkojo (urethra) wa mwanamke ni mfupi ukilinganisha na wa mwanaume, hivyo kufanya iwe rahisi kwa maambukizi kufika kwenye kibofu kwa mwanamke kuliko kwa mwanaume.
Visababishi
Tatizo hili husababishwa kwa kiasi kikubwa na bacteria ambao makazi yao ya kawaida utumbo mpana, na hivyo huwa wanapatikana pia kwenye haja kubwa, mfano Escherichia coli na wengineo. Pia, linaweza likasababisha na ‘fungus’ na visababishi vingine, japo ni mara chache sana.

Vihatarishi na Njia ya Maambukizi
a)Kwa wanawake
• Kujamiiana –hii huweza kuamisha bacteria walio kwenye uume moja kwa moja, ama watokanao na maambukizi ya ukeni kuingia moja kwa moja njia ya mkojo
• Kuchezea ama kuchezewa na mikono michafu maeneo ya uke kunaweza kusababisha maambukizi
• Njia mbaya ya kujisafisha baada ya haja kubwa au ndogo inaweza kuhamisha bacteria walio ktk njia ya haja kubwa na kuingia njia ya mkojo
• Matumizi ya pedi za kike zenye kemikali ya kukata harufu ambao huua bacteria wa asili wa eneo la uke na kukaribisha bacteria wanaosababisha maradhi kuzaliana kwa wingi
Vifuatavyo pia vinaweza vikachangia
• Ujauzito –mara nyingi hushusha kinga ya mwili ya mjamzito
• Upungufu wa homon ya ya kike Oestrogen husababisha bacteria wasababishao U.T.I kuzaliana kirahisi

b)Kwa wanaume
• Matatizo ya tezi ya kiume(prostate) mabapo husababisha mrija wa mkojo kuziba, ama kutopitisha mkojo vizuri na kuruhusu bacteria kujenga makazi
• Kutotahiriwa, ambapo nyama ya mbele inaweza kuhifadhi bacteria wasababishao U.T.I
• Kujamiiana kinyume cha maumbile huingiza kirahisi bacteria walio njia ya haja kubwa kwenye njia ya mkojo
• Kujamiiana bila kinga na mwanamke ambaye ana maambukizi ukeni
• Kuwa na VVU ambapo hupunguza uwezo wa mwili kupambana na maambukizi

c)Kwa wote
• Kutokunywa maji na vinyaji kwa wingi –kunywa maji mengi husababisha mkojo kuzalishwa kwa wingi, na kukojoa mara kwa mara na hivyo kusafisha njia ya mkojo
• Kuwekewa mirija inayosaidia kutoa mkojo nje inaweza pia kukaribisha maambukizi
• Matatizo ya figo na mengine kwenye njia ya mkojo yanayoweza kuziba njia ya mkojo
• Kisukari ambapo hudhoosha kinga ya mwili na pia kuharibu mfumo wa figo wa uchujaji

Dalili za U.T.I
a) Kwa eneo la chini la njia ya mkojo
i. Hali ya kujisikia kutaka kukojoa muda wote
ii. Maumivu, au hali ya kujisikia kuchoma choma wakati wa kukojoa
iii. Kukojoa mara kwa mara na mara zote mkojo ni mdogo
iv. Mkojo unaweza kuonekana una ukungu, na mara nyingine unatoa harufu kali
v. Maumivu ya nyonga kwa wanawake
vi. Maumivu ya rektamu(rectum) kwa wanaume
vii. Na mara nyingine damu kwenye mkojo

b) Kwa eneo la juu la njia ya mkojo
i. Maumivu ya tumbo(hasa eneo la juu kwa pembeni –chini ya mbavu)
ii. Homa kali
iii. Kutetemeka na kujihisi baridi
iv. Kichefuchefu na /au kutapika

Vipimo na matibabu
Mara nyingi kipimo cha mkojo kinaweza kuonyesha tatizo.
Matibabu ni antibiotic baada ya daktari kubaini tatizo

Madhala yatokanayo na U.T.I isipopata tiba sahihi
• Inaweza ikasababisha maambukizi makubwa ya figo(pyenephritis) ambayo yanaweza kusababisha uharibifu wa kudumu wa figo na hivyo kutishia maisha
• Kwa wajawazito inaweza kuhatarisha maisha ya wote mama, na motto aliye tumboni
• Bakteria wanaweza kuingia mfumo wa damu na kusababisha ama kwenda kusababisha madhala mengine
• Inaweza kusababisha shinikizo la damu kuwa kubwa kwenye figo na hata kusababisha ufanyaji wa kazi mbovu wa figo

Tiba mbadala nyumbani kabla ya kumwona daktari
Unaweza kutibu, ama kupunguza tatizo nyumbani kabla ya kumwona daktari pale uonapo dalili ya awali ya U.T.I, ambayo ni maumivu na kuchomachoma wakaji wa kukojoa. Fanya yafuatayo
i. Kunywa maji mengi hasa saa 24 za kwanza baada ya kuona dalili. Hii itasaidia kuzalisha mkojo kwa wingi na kusafisha njia ya mkojo
ii. Kojoa mara kwa mara na hakikisha ni hadi mkojo unaisha ili kibofu kiwe tupu
iii. Kwa maumivu ya mlango wa mkojo, oga na kuosha kwa maji ya moto, kutapunguza maumivu

Njia za Kujikinga na U.T.I
Kunywa maji na vinywaji kwa wingi kila siku. Hii itakusaidia ukojoe mara kwa mara na kutoruhusu bacteria kujenga makazi kwenye njia ya mkojo
Kojoa kila ujisikiapo mkojo na usiubane kwa muda mrefu

Kwa wanawake
Nenda ukakojoe mara tu umalizapo tendo la kujamiiana. Hii itasaidia kutoruhusu bacteria kuingia na kujenga makazi kwenye njia ya mkojo.
Badili pedi mara kwa mara uwapo hedhini
Epuka kujisafisha ukeni na maji yarukayo kwa kasi, pia epuka kupilizia marashi ukeni, ama kutumia pedi zenye kemikali ya kukata harufu. Hizo huua bacteria wa asili wa ukeni hali ambayo hukaribisha bacteria wa maradhi kuzaliana kwa wingi
Ujisafishapo baada ya kujisaidia anzia mbele kwenda nyuma kuepusha kuhamisha bacteria walio eneo la haja kubwa kuingia njia ya mkojo
Kwa wale walio katika kipindi cha ukomo wa hedhi, wanaweza kushauliana na daktari juu ya kutumia oestrogen ya ukeni kuwasaidia kujikinga na maambukizi

Kwa wanaume
Kuhakikisha maeneo ya ncha ya uume ni masafi mara zote, hasa ikiwa hujatahiriwa kuepusha kujihifadhi na kuzaliana kwa vijidudu visababishao maradhi.
Kondom wakati wa kujamiiana nayo ni kinga nzuri


WASILIANA NASI KWA +255762285404 AU 0713354389 KWA USHAURI NA TIBA.

Jumapili, 8 Juni 2014

UJUE UGONJWA WA BAWASIRI (HEMORROHOIDS)


Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.Ugonjwa huu huwapata saana wanaoendesha magari kwasababu hukaa kwa muda mrefu,wengi wao huwa hawautambui ugonjwa huu na hatimaye husema ni kinyama kimetokea sehem za siri lkn wengine huona aibua kwenda kwa madactari kutoa taarifa.Hapa huwa kama kinyama ambacho hutokea wakati mtu anaenda kujisadia haja kubwa.ingine kinyama huwa kinarudi na ingine huwa kinashindwa kurudi chenyewe.

KUNA AINA MBILI ZA BAWASIRI(HEMORRHOIDS)
1.Ya nje ya puru- Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na mara nyingi huambatana na maumivu na muwasho katika sehemu hiyo.Mara nyingi mishipa hiyo ya damu(vena)hupasuka na damu huganda na kusababisha hali iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS kitaalamu.

2.Ndani ya puru/tupu/duburi-Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na haiambatani na maumivu hivyo kuwafanya wengi kutotambua kuwa wana tatizo hili.

KINASABABISHA BAWASIRI ?
Miongoni mwa visababishi vya bawasir ni;
1.Tatizo sugu la kuharisha
2.Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
3.Ujauzito
4.Uzito kupita kiasi(OBERSITY)
5.Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL SEX)
6.Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.
7.Kukaa sehem moja kwa muda mrefu
DALILI ZA BAWASIR
1.Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia CHEMATOZECHEZIA
2.Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
3.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
4.Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
5.Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
6.Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
ATHARI ZA BAWASIR
1.Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
2.STRAGULATED HEMORRHOID
3.Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
4.Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
5.Kuathirika kisaikolojia
6.Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
7.Kupungukiwa nguvu za kiume
JINSI YA KUZUIA BAWASIR
1.Kula mboga za majani na matunda na nafaka zisizokobolewa kwa wingi,kwenye matunda hakikisha unakula na fibres yani kama chungwa kula hadi zile nyama za ndani.
2.Kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
3.Punguza kukaa kwa muda mrefu sana ukiwa chooni(unaweza kuongeza shinikizo katika mfereji wa haja kubwa)
Bawasiri sasa imepata suluhisho na inapona.Kwa ushauri wowote wa afya au swali au tatizo lolote la kiafya waweza tumia +255762285404 au 0713354389.
 NJIA ZA KUPATA MTOTO WA KIUME AU WA KIKE
Watu wengi wamekuwa wakiwabebesha mzigo wanawake juu ya kupata mtoto wa kike au wa kiume na wengine kufikia kuwaacha wake zao eti kwaajili anazaa jinsia moja wakifikiri kuwa swala la kuzaa aina fulani ya mtoto ni lamwanamke peke yake wakati sio kweli mwanaume pia anachangia,sasa leo ningependa tujifunze jinsi ya kuchagua jinsia japo kuwa tunaamini kuwa Mungu pia anachangia ktk hili lkn kama tukifuata utaratibu pia inaweza kutusaidia sana.Mwanaume anamwaga shahawa au spamu kati ya milion 200 hadi 400,ambapo ndani yake kuna chromozomu X na Y.Kila yai la mwanamke lina chromozomu mbili za X. wakati manii ya mwanamume au spemu (yana chromozomu X na Y) kama chromozomu X ya mwanaume itarutubisha yai la mwanamke lenye X tupu, basi mtoto atakayezaliwa atakuwa mwanamke.na endapo chromozomu Y ya mwanaume itarutubisha yai X la mwanamke atazaliwa mtoto wa kiume.Kwa kuwa chromozomu X ya mwanaume inaishi muda mrefu kuliko Y ukitaka kuzaa mtoto wa kike basi ujamiiane siku 2 au 3 kabla ya ovulation(hii itakuwa kama siku ya 4 au 5 kabla kuingia hedhi),lkn pia inashauriwa wanandoa wanapojamiiana basi mwanamke awe chini mwanaume juu kurahisisha spamu X kutunga mimba kwa urahisi,lakin pia njia ya kupata mtoto wa kiume ni kujamiiana masaa 12 baada ya ovulation.
Lakini sasa hivi kumekuwa na tatizo kubwa la watu kukosa kushika mimba wengine tangu alipoza zaa mtoto mmoja ndo basi na wengine hajapata kabisa hali hii imekuwa ikiongezeka kila siku kutokana na maisha tunayoishi,mazingira yetu na baadhi ya magonjwa ya uzazi,japo kuwa inawezekana kabisa tatizo hilo kuondoka na mtu akapata mtoto hata kama alikuwa amekata tamaa.
Kwa ushauri na suluhisho kuhusu tatizo lolote la kiafya tumia 0713354389 AU +255762285404

TATIZO LA KUKOSA CHOO NA MADHARA YAKE

Mtu yeyote anayepata walu mlo mmoja kwa siku na kupitisha kati ya siku moja au tatu bila kupata choo, anatatizo la kukosa choo (Constipation), pia kupata choo kigumu na maumivu makali ama kufikia kutoa choo kama mbuzi wakati mwingine kikiwa na matone ya damu ni dalili za tatizo hili la kukosa choo."Tafiti zinaonesha kuwa mtu anaweza kupoteza maisha iwapo atakosa choo siku tano mpaka saba mfululizo"
Sababu za kukosa choo ziko nyingi ikiwa ni pamoja na:-
•Kukosa mlo kamili ama kula vyakula viingi vyenye kiwango kikubwa cha wanga na mafuta,
•Kula vyakula vilivyokobolewa na vilivyo changanywa na madawa ili visiharibike,
•mifumo hatarishi ya maisha (Dangeraous Lifestyles) kama vile matumizi ya pombe na sigara kwa wingi,
•Ukosefu wa kiwango cha kutosha cha mbogamboga na matunda katika milo yetu,
•Maji yasiyo salama,
•Kuvuta hewa chafu,n.k

Hizi ni baadhi tu, na hadhari zake zaweza kuwa:- 
•Chakula kutomeng'enywa vizuri (poor function of digestion system)
•Maumivi makali wakati wa kupata choo,
•Uchafu uliokaa muda mrefu kugeuka sumu,
•Bakteria wenye madhara kuzaliwa na kuathiri utumbo mpana na viungo vingine mwilini.
Hii yaweza sababisha magonjwa sugu kama: •Saratani ya utumbo mpana (Colon Cancer)
•Presha (Arteriosclerisis)
•Kuongezeka uzito (Obesity)
•Tumbo kujaa gesi
•Magonjwa ya Ini
•Figo kushindwa kufanya kazi vizuri,
•Magonjwa ya ngozi,
•Kukakamaa kwa mishipa ya damu,
•Kisukari,
•Magonjwa ya moyo n.k

WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA +255762285404 AU 0713354389 KWA SULUHISHO NA USHAURI JUU YA TATIZO HILI.

Jumatatu, 2 Juni 2014

NINI MAANA YA MAJIPU, DALILI ZAKE NA AINA YA MAJIPU PIA.

Majipu mara nyingi husababishwa na maambukizi ya bakteria, kawaida staph (Staphylococcus aureus). Hadi asilimia 80 ya watu kuwa na bakteria staph juu ya ngozi zao au katika pua wakati fulani katika maisha yao. Wengi wa wakati hakuna dalili ya majipu. Hii inaitwa ukoloni. Kuhusu 1 asilimia ya watu kuwa na aina maalum ya staph aureus aitwaye methicillin sugu staph (au MRSA kwa muda mfupi), ambayo ni sugu kwa baadhi ya antibiotics matibabu majipu na inaweza kuwa vigumu kutibu.

Aina ya majipu

Kuhusu aina mbalimbali ya majipu mtu anaweza kutofautisha zifuatazo ndio:
  • Furuncle au baharamani Aina hii ya majipu ni jipu ngozi kwamba alionekana kutokana na Staphylococcus aureus bakteria. Fursa ya furuncle juu ya ngozi inaweza kuwa na uhusiano na baridi. Zumaridi mara kwa mara ni seti ya follicles nywele ambayo fomu ni absess. Wakati mtu majipu sugu, yeye anaugua carbunculosis au furunculosis.
  • Acne cystic: Aina hii ya majipu hutokea baada ya clogging na maambukizi ya ducts mafuta. Acne cystic ina athari katika ngozi kushangaza tishu zaidi kwa kulinganisha na mara kwa mara acne , ambayo huathiri ngozi ya juu juu ngazi zaidi. Aina hii ya acne hutokea kwenye uso. Ujumla vijana wanakabiliwa na yake.
  • Hidradenitis suppurativa: Wakati abscesses wengi wamekusanyika katika maeneo ya kinena, na chini ya armpits, hii inaitwa Hidradenitis suppurativa. Hali hii ni maendeleo katika maeneo ambapo tezi jasho ziko. Wao ni na inflamed na kusababisha hali hii. Safu ya matibabu pamoja na si antibiotics tu, bali pia utaratibu wa upasuaji, ambao unaweka mbali ya jasho tezi wanaohusika na kuzuia kuvimba zaidi.
  • cyst Pilonidal: aina hii ya majipu iko katika Groove kati ya makalio. Pilonidal jipu mara nyingi huanza kama maeneo ya kuambukizwa ndogo ambayo ni alikasirishwa na shinikizo kupindukia na ni inflamed sababu ya hiyo. Basi eneo anapata kubwa na anarudi katika nodule imara, kuuma kwamba si vizuri kukaa. Wakati na kukaa kwa muda mrefu wakati wa safari baadhi, kwa mfano, nafasi hii na shinikizo tokoni ya sababu ya kuambukizwa.

Dalili za majipu

Dalili za majipu ni rahisi, ni kuchemsha kama utawala hutokea kwa ghafla kama bonge la rangi nyekundu ambayo husababisha maumivu katika 1-2 cm kufikia kipenyo. Ngozi karibu yake pia inaweza nyekundu au kuvimba. 

pus Kisha ni kusanyiko katika mapema ya. Polepole humkunjulia na inaweza kufikia ukubwa wa mpira wa gofu. Hukua kubwa na anapata chungu zaidi, wakati mwingine kufikia golf ball kawaida. Basi inakuwa ya rangi ya njano-nyeupe, ambayo bursts mwisho na machafu. Kawaida inachukua wiki mbili kwa ajili ya jipu kutoweka au hadi mwezi mmoja katika kesi nadra. Wakati majipu ni kidogo, hawana kuondoka makovu juu ya ngozi. Lakini kubwa majipu wanaweza kuondoka nao. 

Eneo la majipu wanaweza kuwa katika sehemu yoyote ya mwili, lakini eneo zaidi ya mara kwa mara ni juu ya uso, kwapani, shingoni matako, na mapaja - maeneo na follicles nywele ambayo wanakabiliwa na jasho au kutokana na msuguano. 

Majipu kuangalia kama matuta ambayo ni inflamed na kuleta maumivu . Majipu ni zilionyesha na acne cystic. Kama sisi kulinganisha na cysts Acne, majipu ni redder, kuvimba ni kubwa na huleta maumivu zaidi. 

zumaridi A mara kwa mara inaonekana juu ya mabega mapaja, na nyuma ya shingo kama kundi la majipu. Unaathiri ngozi kuwaambukiza zaidi juu ya kiwango cha kushangaza zaidi kuliko majipu tofauti kufanya. Ya mienendo ya maendeleo ya carbuncles ni polepole, ni vigumu kuponya na kuacha kovu juu ya ngozi. Saa carbuncles mara ni kushikamana na hali ya uchovu na homa. 


Maeneo ambayo majipu kiujumla kuonekana ni usoni, shingoni, kwapani, matakoni, sehemu za siri na mapajani. 

WASILIANA NASI KWA +255762285404 AU +255713354389 KWA MAELEZO ZAIDI NA TIBA.