Kwasasa serikali imezindua kampeni ya virutubisho kwa watoto wenye umri wa miezi 6-miaka 5. Kampeni hii ambayo inafadhiliwa na USAID na Wizara ya Afya nia yake hasa ni kuhakikisha kwamba watoto hawa wanapata virutubisho muhimu kwaajili ya ukuaji wao.
Mapungufu yaliyopo::
• Sio wazazi/familia zote zinazomudu kuwa na mlo bora kila siku hivyo kumpelekea mtoto kukosa virutubisho muhimu kwaajili ya ukuaji wake.
• Watoto kwa kawaida yao hawapendi kula baadhi ya vyakula hivyo kuwafanya watoto wengi kuwa na viriba tumbo kwa kukosa baadhi ya virutubisho muhimu.
Umuhimu wa virutubisho hivi:
• Huongeza damu
• Huongeza hamu ya kula
• Huondoa unyafuzi na kiriba tumbo kwa mtoto
• Huondoa udumavu wa mwili na akili wa mtoto
• Huongeza akili kwa mtoto
• Huweka kinga ya magonjwa mbalimbali dhidi ya mtoto
• Kwa wale ambao wana immuno compromise basi virutubisho hivi huwafanya afya zao kuborea zaidi na hivyo kupunguza unyongevu.
• Hurutubisha ngozi, kucha na nywele
• Humfanya aweze kuona vizuri
• Hurutubisha mifupa ya mtoto na meno
• Huongeza antioxidants nmwilini hivyo kuweza kupunguza kiasi cha macromolecules ambazo ni sumu ndani ya mwili wa mtoto.
• Huongeza uchangamfu wa mtoto na kumfanya awe na mwonekano bora kiafya.
Watoto gani hasa wanaohitaji kupewa virutubisho hivi?
• Watoto wote wenye umri kuanzia miez6-miaka 5
• Watoto ambao wacoimmuno compromised
• Watoto wavivu wa kula
Namna ya kutumia virutubisho hivi:
Vvirutubisho hivi vina aina zaidi ya 12 za virutubish muhimu ndani ya mwili wa mtoto na vyote vimetengenezwa kwanamna ya teknolojia ya kisasa zaid na hivyo kuweza kufikia viwango vinavyotakiwa kitaalamu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni